Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Hosea Ndagala kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama ameteketeza mashamba ya bangi na kukamata watuhumiwa kadhaa.
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akitoa hutuba Ikulu baada ya Rais wa Afrika Kusini kufanya ziara nchini Tanzania hivi karibuni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amewahimiza wakurugenzi kusimamia sheria na kutokuogopa vitisho vitavyotolewa na waheshimiwa madiwani kwani Rais anayo mamlaka ya kuvunja Baraza la Madiwani.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa