Ofisi ya Rais - TAMISEMI imeboresha mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri ilimkuendana na mabadiliko ya sera, sheria kanuni na taratibu zinazohusu ukusanyaji wa mapato katika mamlaka ya Serikali za Mitaa. Karibu ujifunze mfumo huu.
Maandalizi ya Awali kwa ajili ya Ujenzi wa barabara ya Lami kutoka barabara kuu kwenda Hospitali ya Wilaya ya Kakonko kwa urefu wa kilomita 1 na mita 200. Hayo yamethibitishwa baada ya Kamati ya Usalama kutembelea bara barabara husika hivi karibuni.
Ajali ya gari imesababisha kifo cha mTU mmoja na majeruhi ilipotokea katika kata ya Kanyonza Wilayani Kakonko siku ya alhamisi Februari 23.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa