Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi asisitiza uangalifu mkubwa uwepo katika kubadilisha sheria ya ndoa ya Tanzania.
Katibu wa uenezi na itikadi taifa wa chama cha mapinduzi amefanyaz aiara Wilayani Kakonko na kukagua miradi ya maendelo pamoja na kuhutubia Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi Wilaya katika ukumbi wa Halmashauri.
Dk.Laurian Ndumbaro, Katibu Mkuu (OR) Menejimenti ya Utumishi wa Umma akitoa ufafanuzi kwa vyombo vya habari kuhusu watumishi wa umma wenye vyeti vya darasa la saba (picha na maktaba)
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa