Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya Misungwi iliyopo Mkoani Mwanza Alphonce Sebukoto kwa kuidhinisha malipo ya mil.279.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli amewahutubia Wakazi wa Kakonko alipofanya ziara Wilayani Kakonko.
Mhe.Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr.John Magufuli amezungumzia kuhusu usemi wa 'vyuma kubana'na kueleza kuwa wale ambao wanasema vyuma vimebana ni wale waliokuwa mafisadi na wenye matumizi mabaya ya fedha.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa