Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akitoa hutuba Ikulu baada ya Rais wa Afrika Kusini kufanya ziara nchini Tanzania hivi karibuni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amewahimiza wakurugenzi kusimamia sheria na kutokuogopa vitisho vitavyotolewa na waheshimiwa madiwani kwani Rais anayo mamlaka ya kuvunja Baraza la Madiwani.
Kituo cha afya cha Kakonko kinachotumika kama Hospitali ya Wilaya kinakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo upungufu wa dawa watumishi na idadi kubwa ya wagonjwa hivyo kuhitaji msaada wa haraka kutoka Serikalini.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa