Mwenyekiti wa IPP Media Dr.Reginald Mengi amefariki dunia usiku wa kuamkia tarehe Mei, 2 akiwa Dubai. Hata hivyo maisha aliyoishi mzee Mengi yamewagusa watu wengi kutokana moyo wake wa kujitolea kwa jamii hivyo ni vyema jamii ikijifunza kuacha alama baada ya kufa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Magufuli amewaalika viongozi wa dini na kuzungumza nao kuhusiana na mambo mablimbali yanayohusiana na ustawi wa Nchi siku Jana Jumatano Januari 23, 2019.
Waziri wa Fedha na Mipango, Philip Mpango akiwasilisha Bungeni taarifa ya hali ya Uchumi wa Taifa katika mwaka 2017 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa