Mganga Mkuu wa wilaya ya kakonko Dr.Getera Nyangi na Diwani wa Kata ya Kakonko Mhe.Augustino Linze wameipongeza Serikali kwa kuboresha huduma za Afya kupitia ujenzi wa Miundo mbinu na sekta nyingine pia kupitia Muungano.
Siku moja kabla ya siku ya Maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano, Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Ndaki Mhuli wamefanya usafi katika hospitali ya Wilaya ya Kakonko.
Kamati ya Mfuko wa Jimbo ikiongozwa na Mwenyekiti wake na Mbunge wa Jimbo la Buyungu Mhe.Aloyce John Kamamba imeagiza Mkaguzi wa ndani kufika katika shule ya Sekondari Rugenge Wilayani Kakonko na kukagua fedha zilizotolewa na mfuko huo baada ya kutoridhishwa wakati wa ziara ya kutembelea miradi iliyofadhiliwa na mfuko hivi karibuni.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa